Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 19:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hakuna usemi wala maneno, Sauti yao haisikilikani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hamna msemo au maneno yanayotumika; wala hakuna sauti inayosikika;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hamna msemo au maneno yanayotumika; wala hakuna sauti inayosikika;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hamna msemo au maneno yanayotumika; wala hakuna sauti inayosikika;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakuna msemo wala lugha, ambapo sauti zao hazisikiki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakuna msemo wala lugha, ambapo sauti zao hazisikiki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hakuna usemi wala maneno, Sauti yao haisikilikani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 19:3
1 Marejeleo ya Msalaba  

tena usije ukainua macho yako hata mbinguni, na ulionapo jua, na mwezi, na nyota, jeshi la mbinguni lote pia, ukashawishwa na kuviabudu, na kuvitumikia, ambavyo BWANA, Mungu wako amewagawanyia watu wote chini ya mbingu zote.