Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 19:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mchana husemezana na mchana, Usiku hutolea usiku maarifa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mchana waupasha habari mchana ufuatao, usiku waufahamisha usiku ufuatao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mchana waupasha habari mchana ufuatao, usiku waufahamisha usiku ufuatao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mchana waupasha habari mchana ufuatao, usiku waufahamisha usiku ufuatao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mchana husemezana na mchana, Usiku hutolea usiku maarifa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 19:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.


Mungu akaliumba anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.


Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na wakati wa joto, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, mchana na usiku, havitakoma.


Vijana wa kiume, na wanawali, Wazee, na watoto;


Haleluya. Msifuni Mungu katika patakatifu pake; Msifuni katika anga la uweza wake.


Mchana ni wako, usiku nao ni wako, Ndiwe uliyeufanya mwanga na jua.


Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?


Aliye hai, naam, aliye hai, ndiye atakayekusifu, kama mimi leo; Baba atawajulisha watoto uaminifu wako.