Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 19:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu, Na anga laitangaza kazi ya mikono yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mbingu zatangaza utukufu wa Mungu; anga ladhihirisha kazi ya mikono yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mbingu zatangaza utukufu wa Mungu; anga ladhihirisha kazi ya mikono yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mbingu zatangaza utukufu wa Mungu; anga ladhihirisha kazi ya mikono yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu, anga zahubiri kazi ya mikono yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu, anga zahubiri kazi ya mikono yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu, Na anga laitangaza kazi ya mikono yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 19:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo alipoiona na kuitangaza; Aliithibitisha, naam, na kuichunguza.


Mbingu ni mbingu za BWANA, Bali nchi amewapa wanadamu.


Kwa neno la BWANA mbingu ziliumbwa, Na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake.


Na mbingu zitatangaza haki yake, Kwa maana Mungu ndiye aliye hakimu.


Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, Mwezi na nyota ulizoziratibisha;


Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa kama nyota milele na milele.