Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 18:49 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi, BWANA, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo nitakutukuza kati ya mataifa, ee Mwenyezi-Mungu nitaliimbia sifa jina lako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo nitakutukuza kati ya mataifa, ee Mwenyezi-Mungu nitaliimbia sifa jina lako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo nitakutukuza kati ya mataifa, ee Mwenyezi-Mungu nitaliimbia sifa jina lako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo nitakusifu katika mataifa, Ee Mwenyezi Mungu; nitaliimbia sifa jina lako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo nitakusifu katikati ya mataifa, Ee bwana; nitaliimbia sifa jina lako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, BWANA, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 18:49
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Mungu, moyo wangu u thabiti, Nitaimba, nitaimba zaburi, Naam, kwa utukufu wangu.


Ee BWANA, nitakushukuru kati ya watu, Nitakuimbia sifa kati ya mataifa.


Ee BWANA, wafalme wote wa dunia watakushukuru, Watakapoyasikia maneno ya kinywa chako.


Laiti wokovu wa Israeli ungetoka katika Sayuni! BWANA awarudishapo wafungwa wa watu wake; Yakobo atashangilia, Israeli atafurahi.


Ili nafsi yangu ikusifu, Wala isinyamaze. Ee BWANA, Mungu wangu, Nitakushukuru milele.


Ee Bwana, nitakushukuru kati ya watu, Nitakuimbia sifa kati ya mataifa.


Nao walipokwisha kuimba, wakatoka nje kwenda katika mlima wa Mizeituni.


tena ili Mataifa wamtukuze Mungu kwa ajili ya rehema zake; kama ilivyoandikwa, Kwa hiyo nitakushukuru kati ya Mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.


Nakuagiza mbele za Mungu anayevihifadhi hai vitu vyote, na mbele za Kristo Yesu, aliyeyaungama maungamo mazuri yale mbele ya Pontio Pilato,