Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 18:41 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Walipiga yowe, lakini hakuna wa kuokoa, Walimwita BWANA lakini hakuwajibu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walipiga yowe lakini hapakuwa na wa kuwaokoa; walimlilia Mwenyezi-Mungu lakini hakuwajibu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walipiga yowe lakini hapakuwa na wa kuwaokoa; walimlilia Mwenyezi-Mungu lakini hakuwajibu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walipiga yowe lakini hapakuwa na wa kuwaokoa; walimlilia Mwenyezi-Mungu lakini hakuwajibu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipiga yowe, lakini hapakuwa na mtu wa kuwaokoa; walimlilia Mwenyezi Mungu, lakini hakuwajibu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa; walimlilia bwana, lakini hakuwajibu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walipiga yowe, lakini hakuna wa kuokoa, Walimwita BWANA lakini hakuwajibu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 18:41
17 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Mungu atakisikia kilio chake, Taabu zitakapomfikia?


Mataifa yote walinizunguka; Kwa jina la BWANA niliwakatilia mbali.


Walinizunguka, naam, walinizunguka; Kwa jina la BWANA niliwakatilia mbali.


Yafahamuni hayo, Ninyi mnaomsahau Mungu, Nisije nikawararueni, Asipatikane wa kuwaokoa.


Ndipo watakaponiita, lakini sitaitika; Watanitafuta kwa bidii, wasinione.


Nanyi mkunjuapo mikono yenu, nitaficha macho yangu nisiwaone; naam, mwombapo maombi mengi, sitasikia; mikono yenu imejaa damu.


Basi, BWANA asema hivi, Tazama, nitaleta mabaya juu yao, ambayo hawataweza kuyakimbia; nao watanililia, lakini sitawasikiliza.


Wafungapo, mimi sitasikia kilio chao; na watoapo sadaka za kuteketezwa na sadaka ya unga, sitazitakabali; bali nitawaangamiza kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni.


Kwa sababu hiyo mimi nami nitatenda kwa ghadhabu; jicho langu halitaachilia, wala sitawaonea huruma, na wajapolia masikioni mwangu kwa sauti kuu, sitawasikiliza.


Wala hawakunililia kwa moyo, lakini wanalalamika vitandani mwao; hujikutanisha ili kupata nafaka na divai; huniasi mimi.


Ndipo watakapomwomba BWANA, asiwaitikie; naam, atawaficha uso wake wakati huo, kwa kadiri walivyotenda mabaya kwa matendo yao.


Ikawa kama wakati nilipowaita, wasitake kunisikiliza; basi, nao wataniita, wala sitasikiliza, asema BWANA wa majeshi.


Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;


Baadaye Yoshua akawapiga, na kuwaua, akawatundika katika miti mitano; nao wakawa wametundikwa katika hiyo miti hadi jioni.