Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 18:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nawe umenipa nguvu za vita, Hunitiishia chini yangu walionishambulia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wewe ulinijalia nguvu ya kupigana vita; uliwaporomosha maadui chini yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wewe ulinijalia nguvu ya kupigana vita; uliwaporomosha maadui chini yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wewe ulinijalia nguvu ya kupigana vita; uliwaporomosha maadui chini yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita; uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita; uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe umenipa nguvu za vita, Hunitiishia chini yangu walionishambulia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 18:39
13 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Si BWANA, Mungu wenu, aliye pamoja nanyi? Na kuwapa amani pande zote? Kwa kuwa wenyeji wa nchi amewatia mkononi mwangu; nayo nchi imetiishwa mbele za BWANA, na mbele ya watu wake.


Mungu ndiye anifungaye mshipi wa nguvu, Naye anaifanya kamilifu njia yangu.


Uovu utamwua asiye haki, Nao wamchukiao mwenye haki watahukumiwa.


Mwambieni Mungu, Matendo yako yatisha kama nini! Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako, Adui zako watakuja kunyenyekea mbele zako.


Bali anikosaye hujidhuru nafsi yake mwenyewe, Na wao wanichukiao hupenda mauti.


BWANA asema hivi, Kazi ya Misri, na bidhaa ya Kushi, na Waseba, watu walio warefu, watakujia, nao watakuwa wako; watakufuata; watakuja katika minyororo; wataanguka chini mbele yako, watakuomba, wakisema, Hakika Mungu yu ndani yako; wala hapana mwingine, hapana Mungu tena.


Watufuatiao wako juu ya shingo zetu; Tumechoka, tusipate pumziko lolote.


Yeye anichukiaye mimi humchukia na Baba yangu.


akavitia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awe kichwa juu ya vitu vyote kwa ajili ya kanisa; ambalo


atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote viwe chini yake.