Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 18:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nitawapigapiga wasiweze kusimama, Wataanguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Niliwaangusha chini wasiweze kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Niliwaangusha chini wasiweze kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Niliwaangusha chini wasiweze kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Niliwaseta hata hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Niliwaseta hata hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nitawapigapiga wasiweze kusimama, Wataanguka chini ya miguu yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 18:38
13 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nimewakomesha na kuwapiga wasiweze kusimama; Naam, wameanguka chini ya miguu yangu.


Utawafanya kuwa kama tanuri ya moto, Wakati wa ghadhabu yako. BWANA atawameza kwa ghadhabu yake, Na moto utawateketeza.


Huko ndiko walikoanguka wafanyao maovu; Wameangushwa chini wasiweze kusimama.


Amewatiisha watu wa nchi chini yetu, Na mataifa chini ya miguu yetu.


BWANA atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako; watakutokea kwa njia moja, lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.


Ndipo wakaenda Keila, Daudi na watu wake, wakapigana na hao Wafilisti, wakateka nyara ng'ombe zao, na kuwaua uuaji mkuu. Hivyo Daudi akawaokoa watu wa Keila.


Naye Daudi akawapiga tangu ukungu wa jioni hadi jioni ya siku ya pili; hakuna aliyeokoka, ila vijana mia nne waliopanda ngamia na kukimbia.