Zaburi 18:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Umezipanulia nafasi hatua zangu, Na miguu yangu haikuteleza. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Umenirahisishia njia yangu; wala miguu yangu haikuteleza. Biblia Habari Njema - BHND Umenirahisishia njia yangu; wala miguu yangu haikuteleza. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Umenirahisishia njia yangu; wala miguu yangu haikuteleza. Neno: Bibilia Takatifu Huyapanua mapito yangu, ili miguu yangu isiteleze. Neno: Maandiko Matakatifu Huyapanua mapito yangu, ili miguu yangu isiteleze. BIBLIA KISWAHILI Umezipanulia nafasi hatua zangu, Na miguu yangu haikuteleza. |
Naam, yeye angekuongoza utoke katika msiba Hata mahali penye nafasi, ambapo hapana kizuizi; Na kilichowekwa mezani pako kingejaa mafuta.
Ee Mungu wa haki yangu, uniitikie niitapo; Uliniokoa nilipokuwa katika shida; Unifadhili na kuisikia sala yangu.
usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kulia wa haki yangu.