Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 18:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Umezipanulia nafasi hatua zangu, Na miguu yangu haikuteleza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Umenirahisishia njia yangu; wala miguu yangu haikuteleza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Umenirahisishia njia yangu; wala miguu yangu haikuteleza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Umenirahisishia njia yangu; wala miguu yangu haikuteleza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huyapanua mapito yangu, ili miguu yangu isiteleze.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huyapanua mapito yangu, ili miguu yangu isiteleze.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Umezipanulia nafasi hatua zangu, Na miguu yangu haikuteleza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 18:36
9 Marejeleo ya Msalaba  

Umezifanyia nafasi hatua zangu, Wala miguu yangu haikuteleza.


Hatua zake za nguvu zitasongwa, Na shauri lake mwenyewe litamwangusha chini.


Naam, yeye angekuongoza utoke katika msiba Hata mahali penye nafasi, ambapo hapana kizuizi; Na kilichowekwa mezani pako kingejaa mafuta.


Ee Mungu wa haki yangu, uniitikie niitapo; Uliniokoa nilipokuwa katika shida; Unifadhili na kuisikia sala yangu.


Bali waitafutao nafsi yangu, ili kuiangamiza, Wataingia katika vilindi vya nchi.


Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio hutajikwaa.


usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kulia wa haki yangu.


Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe!