Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 18:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mungu ndiye anifungaye mshipi wa nguvu, Naye anaifanya kamilifu njia yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu ndiye anijaliaye nguvu kila upande; ndiye anayeifanya salama njia yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu ndiye anijaliaye nguvu kila upande; ndiye anayeifanya salama njia yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu ndiye anijaliaye nguvu kila upande; ndiye anayeifanya salama njia yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu ndiye anifungaye mshipi wa nguvu, Naye anaifanya kamilifu njia yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 18:32
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu ndiye ngome yangu yenye nguvu; Naye huwaongoza wakamilifu katika njia yake.


BWANA ni nguvu zangu na ngao yangu. Moyo wangu umemtumaini, Nami nimesaidiwa; Basi, moyo wangu unashangilia, Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.


Atasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.


BWANA ametamalaki, amejivika adhama, BWANA amejivika, ukuu na nguvu, kama mavazi ya kifalme. Naam, ulimwengu umethibitika usitikisike;


Msiogope wala msifanye hofu; je! Sikukuambia haya zamani na kuyatangaza? Na ninyi ni mashahidi wangu. Je! Yuko Mungu zaidi yangu mimi? Hakika hapana Mwamba; mimi sijui mwingine.


Mimi ni BWANA, wala hapana mwingine; zaidi yangu mimi hapana Mungu; nitakuimarisha ijapokuwa hukunijua;


Si kwamba tunatosha sisi wenyewe kufikiri kuwa neno lolote ni letu wenyewe, bali utoshelevu wetu unatoka kwa Mungu.


Baada ya hayo kulikuwa na vita tena; naye Daudi akatoka, naye akapigana na Wafilisti, naye akawaua kwa uuaji mkuu; nao wakakimbia mbele yake.