Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 18:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wewe ni mkamilifu kwa walio wakamilifu; lakini mkatili kwa watu walio waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wewe ni mkamilifu kwa walio wakamilifu; lakini mkatili kwa watu walio waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wewe ni mkamilifu kwa walio wakamilifu; lakini mkatili kwa watu walio waovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa aliye mtakatifu, unajionesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka, unajionesha kuwa mkaidi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa aliye mtakatifu, unajionyesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka, unajionyesha kuwa mkaidi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 18:26
9 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika yake huwadharau wenye dharau, Bali huwapa wanyenyekevu neema.


Je! Litasemwa neno hili, enyi nyumba ya Yakobo, Roho ya BWANA imepunguzwa? Je! Haya ni matendo yake? Je! Maneno yangu hayamfai yeye aendaye kwa unyofu?


dhiki na shida juu ya kila nafsi ya mwanadamu atendaye uovu, Myahudi kwanza na Mgiriki pia;


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.


Kwa sababu hiyo, BWANA, Mungu wa Israeli, asema, Ni kweli, nilisema ya kuwa nyumba yako, na nyumba ya baba yako itakwenda mbele zangu milele; lakini sasa BWANA asema, Jambo hili na liwe mbali nami; kwa maana wao wanaoniheshimu nitawaheshimu, na wao wanaonidharau nitawadharau.