Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 18:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nami nilikuwa mkamilifu mbele zake, Nikajilinda na uovu wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mbele yake sikuwa na hatia; nimejikinga nisiwe na hatia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mbele yake sikuwa na hatia; nimejikinga nisiwe na hatia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mbele yake sikuwa na hatia; nimejikinga nisiwe na hatia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nimekuwa sina hatia mbele zake, nami nimejilinda nisitende dhambi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nimekuwa sina hatia mbele zake, nami nimejilinda nisitende dhambi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nilikuwa mkamilifu mbele zake, Nikajilinda na uovu wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 18:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nami ninajua, Mungu wangu, ya kuwa wewe wajaribu moyo, nawe wapendezwa na unyofu. Nami katika unyofu wa moyo wangu nimeyatoa haya yote kwa hiari yangu mwenyewe; nami sasa nimeona kwa furaha watu wako, waliopo hapa, wakikutolea kwa hiari yao.


Kwa kuwa BWANA ni mwenye haki, Apenda matendo ya haki, Wanyofu wa moyo watauona uso wake.


Nimeichagua njia ya uaminifu, Na kuziweka hukumu zako mbele yangu.


Umenijaribu moyo wangu, umenijia usiku, Umenichunguza usione neno; Nimenuia kinywa changu kisikose,


Jiepushe na uovu, utende mema, Na kukaa hata milele.


BWANA humlipa kila mtu kulingana na haki na uaminifu wake; maana BWANA amekutia mikononi mwangu leo, nami nilikataa kuunyosha mkono wangu juu ya masihi wa BWANA.