Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 18:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akanitoa akanipeleka panapo nafasi, Aliniponya kwa kuwa alipendezwa nami.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alinileta, akaniweka mahali pa usalama; alinisalimisha, kwani alipendezwa nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alinileta, akaniweka mahali pa usalama; alinisalimisha, kwani alipendezwa nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alinileta, akaniweka mahali pa usalama; alinisalimisha, kwani alipendezwa nami.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alinileta nje mahali penye nafasi tele, akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alinileta nje mahali penye nafasi tele, akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akanitoa akanipeleka panapo nafasi, Aliniponya kwa kuwa alipendezwa nami.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 18:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na ahimidiwe BWANA, Mungu wako, aliyependezwa nawe, ili akuweke juu ya kiti cha enzi cha Israeli; kwa kuwa BWANA amewapenda Israeli milele, kwa hiyo amekufanya kuwa mfalme, ufanye hukumu na haki.


Naam, yeye angekuongoza utoke katika msiba Hata mahali penye nafasi, ambapo hapana kizuizi; Na kilichowekwa mezani pako kingejaa mafuta.


Katika shida yangu nilimwita BWANA; BWANA akanijibu akaniweka panapo nafasi.


Umezipanulia nafasi hatua zangu, Na miguu yangu haikuteleza.


Wala hukunitia mikononi mwa adui; Miguu yangu umeisimamisha mahali penye usalama.


Hatua za mtu mwema huimarishwa na BWANA, Naye huipenda njia yake.


Akanipandisha toka shimo la uharibifu, Toka udongo wa utelezi; Akaisimamisha miguu yangu mwambani, Akaziimarisha hatua zangu.