Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 17:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hukumu yangu na itoke kwako, Macho yako na yatazame mambo ya adili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Haki yangu na ije kutoka kwako, kwani wewe wajua jambo lililo la haki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Haki yangu na ije kutoka kwako, kwani wewe wajua jambo lililo la haki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Haki yangu na ije kutoka kwako, kwani wewe wajua jambo lililo la haki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hukumu yangu na itoke kwako, macho yako na yaone yale yaliyo haki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hukumu yangu na itoke kwako, macho yako na yaone yale yaliyo haki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hukumu yangu na itoke kwako, Macho yako na yatazame mambo ya adili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 17:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA hatamwacha mkononi mwake, Wala hatamwacha alaumiwe atakapohukumiwa.


Ataitokeza haki yako kama nuru, Na hukumu yako kama jina la adhuhuri.


Lakini ninyi mwasema, Njia ya Bwana si sawa. Sikilizeni sasa, Enyi nyumba ya Israeli; Je! Njia yangu siyo iliyo sawa? Njia zenu sizo zisizo sawa?


Lakini nyumba ya Israeli husema, Njia ya Bwana si sawa. Ee nyumba ya Israeli, je! Njia zangu sizo zilizo sawa? Njia zenu sizo zisizo sawa?


Walakini wana wa watu wako husema, Njia ya Bwana si sawa; lakini watu hao, njia yao si sawa.


Lakini ninyi husema, Njia ya Bwana si sawa. Ee nyumba ya Israeli, nitawahukumu ninyi; kila mtu kwa kadiri ya njia zake.


Yeye awezaye kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu;