Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 16:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nimemweka BWANA mbele yangu daima, Kwa kuwa yuko kuliani mwangu, sitaondoshwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Namweka Mwenyezi-Mungu mbele yangu daima; yuko pamoja nami, wala sitatikisika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Namweka Mwenyezi-Mungu mbele yangu daima; yuko pamoja nami, wala sitatikisika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Namweka Mwenyezi-Mungu mbele yangu daima; yuko pamoja nami, wala sitatikisika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nimemweka Mwenyezi Mungu mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nimemweka bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimemweka BWANA mbele yangu daima, Kwa kuwa yuko kuliani mwangu, sitaondoshwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 16:8
13 Marejeleo ya Msalaba  

Maana atasimama mkono wa kulia wa mhitaji Amwokoe kutoka kwa wanaoihukumu nafsi yake.


Bwana yu mkono wako wa kulia; Atawaponda wafalme, Siku ya ghadhabu yake.


BWANA ndiye mlinzi wako; BWANA ni uvuli katika mkono wako wa kulia.


Kama ningeyahesabu ni mengi kuliko mchanga; Niamkapo ningali pamoja nawe.


Asiyetoa fedha yake apate kula riba, Asiyepokea rushwa amwangamize asiye na hatia. Mtu atendaye mambo hayo Hataondoshwa milele.


Mkono wako utawapata adui zako wote, Mkono wako wa kulia utawapata wanaokuchukia.


Hadi lini mtamshambulia mtu, Mpate kumwua ninyi nyote pamoja? Kama ukuta unaoinama, Kama ua ulio tayari kuanguka,


Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu, Ngome yangu, sitatikisika.


Kwa Mungu wokovu wangu, Na utukufu wangu; Mwamba wa nguvu zangu, Na kimbilio langu ni kwa Mungu.


Walakini mimi ni pamoja nawe daima, Umenishika mkono wa kulia.


Mwili wangu na moyo wangu hupunguka, Bali Mungu ni mwamba wa moyo wangu Na sehemu yangu milele.


Kwa imani akatoka Misri, asiogope ghadhabu ya mfalme; maana alistahimili kama amwonaye yeye asiyeonekana.