Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 16:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nao watakatifu waliopo duniani, ndio Walio bora, Hao ndio niliopendezwa nao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ni bora sana hao watakatifu walioko nchini, kukaa nao ndiyo furaha yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ni bora sana hao watakatifu walioko nchini, kukaa nao ndiyo furaha yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ni bora sana hao watakatifu walioko nchini, kukaa nao ndiyo furaha yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuhusu watakatifu walio duniani, hao ndio wenye fahari, na ninapendezwa nao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa habari ya watakatifu walioko duniani, ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao watakatifu waliopo duniani, ndio Walio bora, Hao ndio niliopendezwa nao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 16:3
20 Marejeleo ya Msalaba  

Sasa, Ee BWANA, Mungu, uondoke, uende kwenye raha yako, wewe na sanduku la nguvu zako; makuhani wako, Ee BWANA, Mungu, wavikwe wokovu, watakatifu wako na washangilie mema.


Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi, Hao wakae nami. Yeye aendaye katika njia kamilifu, Ndiye atakayenitumikia.


Kifo cha waaminifu wa Mungu, kina thamani machoni pa BWANA.


Mimi ni mwenzi wa watu wote wakuchao, Na wale wayatiio mausia yako.


Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu Niseme sasa, Amani ikae nawe.


Mwimbieni BWANA zaburi, Enyi watauwa wake. Na kutoa shukrani. Kwa kukumbuka utakatifu wake.


Mwenye haki ni kiongozi wa mwenzake; Bali njia ya wasio haki huwakosesha.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Nikiifurahia dunia inayokaliwa na watu; Na furaha yangu ilikuwa pamoja na wanadamu.


Mimi ni wake mpendwa wangu, Na shauku yake ni juu yangu.


Hutaitwa tena Aliyeachwa, wala nchi yako haitaitwa tena, Ukiwa; bali utaitwa Hefziba; na nchi yako Beula; kwa kuwa BWANA anakufurahia, na nchi yako itaolewa.


Nao watakuwa wangu, asema BWANA wa majeshi, katika siku ile niifanyayo; naam, watakuwa hazina yangu hasa; nami nitawaachilia, kama vile mtu amwachiliavyo mwanawe mwenyewe amtumikiaye.


Lakini Anania akajibu, Bwana, nimesikia habari za mtu huyu kwa watu wengi, mabaya mengi aliyowatenda watakatifu wako Yerusalemu;


Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.


Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu; kwa watakatifu walioko [Efeso] wanaomwamini Kristo Yesu.


Ni neno la kuaminiwa; na mambo hayo nataka uyasisitizie sana, ili wale waliomwamini Mungu wakumbuke kudumu katika matendo mema. Mambo hayo ni mazuri sana, tena yana manufaa kwa wanadamu.


Maana Mungu si dhalimu hata aisahau kazi yenu, na pendo lile mlilolidhihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewahudumia watakatifu, na hata hivi sasa mngali mkiwahudumia.