Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 16:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nimemwambia BWANA, Ndiwe BWANA wangu; Sina wema ila utokao kwako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Namwambia Mungu: “Wewe u Bwana wangu; sina jema lolote ila wewe.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Namwambia Mungu: “Wewe u Bwana wangu; sina jema lolote ila wewe.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Namwambia Mungu: “Wewe u Bwana wangu; sina jema lolote ila wewe.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nilimwambia Mwenyezi Mungu, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nilimwambia bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimemwambia BWANA, Ndiwe BWANA wangu; Sina wema ila utokao kwako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 16:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Uliposema, “Nitafuteni uso wangu,” Moyo wangu umekuambia, BWANA, uso wako nitautafuta.


Lakini mimi nakutumaini Wewe, BWANA, Nimesema, Wewe ndiwe Mungu wangu.


Ni nani niliye naye mbinguni, Wala duniani sina cha kupendeza ila Wewe.


Ee, MUNGU, Bwana wetu Jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani kote! Wewe umeuweka utukufu wako mbinguni;


Yeye ataniita, Wewe ni baba yangu, Mungu wangu na mwamba wa wokovu wangu.


Atasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.


Ee BWANA, Mungu wetu, mabwana wengine zaidi ya wewe wametumiliki; lakini kwa msaada wako peke yako tutalitaja jina lako.


Mmoja atasema, Mimi ni wa BWANA; na mwingine atajiita kwa jina la Yakobo; na mwingine ataandika juu ya mkono wake, Kwa BWANA, na kujiita kwa jina la Israeli.


Nami nitalileta fungu lile la tatu na kulipitisha kati ya moto, nami nitawasafisha kama fedha isafishwavyo, nami nitawajaribu kama dhahabu ijaribiwavyo; wataliitia jina langu, nami nitawasikia; mimi nitasema, Watu hawa ndio wangu; nao watasema, BWANA ndiye Mungu wangu.


Vivyo hivyo nanyi, mtakapokwisha kuyafanya yote mliyoagizwa, semeni, Sisi tu watumwa wasio na faida; tumefanya tu yaliyotupasa kufanya.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!


Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, naye atalipwa tena?