Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 16:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mungu, unihifadhi mimi, Kwa maana nakukimbilia Wewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Unilinde ee Mungu; maana kwako nakimbilia usalama.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Unilinde ee Mungu; maana kwako nakimbilia usalama.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Unilinde ee Mungu; maana kwako nakimbilia usalama.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu, uniweke salama, kwa maana kwako nimekimbilia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu, uniweke salama, kwa maana kwako nimekimbilia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu, unihifadhi mimi, Kwa maana nakukimbilia Wewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 16:1
21 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA huwalinda wasio na hila; Nilidhilika, akaniokoa.


Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautikisiki, wakaa milele.


Heri ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, Na tumaini lake ni kwa BWANA, Mungu wake,


Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako, Hatua zangu hazikuondoshwa.


Unilinde kama mboni ya jicho, Unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako;


Husema, Umtegemee BWANA; na amponye; Na amwokoe sasa, maana apendezwa naye.


Unilinde nafsi yangu na kuniokoa, Usiniache niaibike, maana nakukimbilia Wewe.


Mpendeni BWANA, Ninyi nyote mlio watauwa wake. BWANA huwahifadhi waaminifu, Bali humlipiza mwenye kiburi ipasavyo.


Kwa kuwa BWANA hupenda haki, Wala hawaachi watauwa wake. Wao hulindwa milele, Bali mzawa wa wasio haki ataharibiwa.


Mungu, unirehemu, maana yuko atakaye kunimeza, Mchana kutwa ananionea akileta vita.


Ee Mungu, umetutupa na kututawanya, Umekuwa na hasira, uturudishe tena.


BWANA, Mungu wangu, nimekukimbilia Wewe, Uniokoe na wote wanaonifuatia, uniponye.


Asije akaipapura nafsi yangu kama simba, Akaniburura hadi pasipokuwa na wa kuniponya.


Ee BWANA wa majeshi, Heri mwanadamu anayekutumaini Wewe.


Nao wakujuao jina lako wakutumaini Wewe, Maana Wewe, BWANA hukuwaacha wakutafutao.


Enyi mmpendao BWANA, uchukieni uovu; Huwalinda nafsi zao watauwa wake, Na kuwaokoa na mkono wa wasio haki.


Apate kuyalinda mapito ya hukumu, Na kuhifadhi njia ya watakatifu wake.


Naam, sisi wenyewe tulikuwa na hukumu ya mauti katika nafsi zetu ili tusijitumainie nafsi zetu, bali tumtumaini Mungu, awafufuaye wafu,


Kwa sababu hiyo nimepatikana na mateso haya, lakini sitahayari; kwa maana namjua yeye niliyemwamini, na kusadiki ya kwamba aweza kukilinda kile nilichokiweka amana kwake hata siku ile.