Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 150:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA. Haleluya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila kiumbe hai kimsifu Mwenyezi-Mungu! Msifuni Mwenyezi-Mungu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila kiumbe hai kimsifu Mwenyezi-Mungu! Msifuni Mwenyezi-Mungu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila kiumbe hai kimsifu Mwenyezi-Mungu! Msifuni Mwenyezi-Mungu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kila chenye pumzi na kimsifu Mwenyezi Mungu. Msifuni Mwenyezi Mungu!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kila chenye pumzi na kimsifu bwana. Msifuni bwana!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA. Haleluya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 150:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mhimidini BWANA, enyi matendo yake yote, Mahali pote pa milki yake. Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.


Ee BWANA, kazi zako zote zitakushukuru, Na wacha Mungu wako watakuhimidi.


Kinywa changu kitazinena sifa za BWANA; Wote wenye mwili na walihimidi jina lake takatifu milele na milele.


Na walisifu jina la BWANA, Maana jina lake peke yake limetukuka; Adhama yake i juu ya nchi na mbingu.


Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane, Ni Mungu aliye katika kao lake takatifu.


Na kila kiumbe kilichoko mbinguni na juu ya nchi na chini ya nchi na juu ya bahari, na vitu vyote vilivyomo ndani yake, nilivisikia, vikisema, Baraka na heshima na utukufu na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na kwake Mwana-kondoo, hata milele na milele.