Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 150:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Haleluya. Msifuni Mungu katika patakatifu pake; Msifuni katika anga la uweza wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Msifuni Mungu katika patakatifu pake; msifuni katika mbingu zake kuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Msifuni Mungu katika patakatifu pake; msifuni katika mbingu zake kuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Msifuni Mungu katika patakatifu pake; msifuni katika mbingu zake kuu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Msifuni Mwenyezi Mungu. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Msifuni bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haleluya. Msifuni Mungu katika patakatifu pake; Msifuni katika anga la uweza wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 150:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Maana ametazama toka patakatifu pake pa juu, Toka mbinguni BWANA ameiangalia nchi,


Painulieni patakatifu mikono yenu, Na kumhimidi BWANA.


Haleluya. Mwimbieni BWANA wimbo mpya, Sifa zake katika kusanyiko la watauwa.


Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu, Na anga laitangaza kazi ya mikono yake.


Mchana husemezana na mchana, Usiku hutolea usiku maarifa.


Sauti ya BWANA yawazalisha ayala, Na kuiacha misitu wazi; Na ndani ya hekalu lake Wanasema, Utukufu!


Ndipo nikaangalia, na tazama, katika anga lililokuwa juu ya vichwa vya makerubi, kulionekana juu yao kana kwamba ni yakuti samawi, kuonekana kama mfano wa kiti cha enzi.


Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa kama nyota milele na milele.