Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 15:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA, ni nani atakayekaa Katika hema yako? Ni nani atakayeishi Katika kilima chako kitakatifu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nani ee Mwenyezi-Mungu atakayekaa hemani mwako? Nani atakayeishi juu ya mlima wako mtakatifu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nani ee Mwenyezi-Mungu atakayekaa hemani mwako? Nani atakayeishi juu ya mlima wako mtakatifu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nani ee Mwenyezi-Mungu atakayekaa hemani mwako? Nani atakayeishi juu ya mlima wako mtakatifu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu, ni nani awezaye kukaa katika Hekalu lako? Nani awezaye kuishi katika mlima wako mtakatifu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana, ni nani awezaye kukaa katika Hekalu lako? Nani awezaye kuishi katika mlima wako mtakatifu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA, ni nani atakayekaa Katika hema yako? Ni nani atakayeishi Katika kilima chako kitakatifu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 15:1
20 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nimemweka mfalme wangu Juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.


Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.


Kwa sauti yangu namwita BWANA Naye aniitikia toka mlima wake mtakatifu.


Nitakaa katika hema yako milele, Na kupata kimbilio chini ya mbawa zako.


Heri wakaao nyumbani mwako, Wanakuhimidi daima.


Waliopandwa katika nyumba ya BWANA Watastawi katika nyua za Mungu wetu.


Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.


Baba, hao ulionipa nataka wawe pamoja nami popote nilipo, wapate na kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa maana ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi ulimwengu.


Bali ninyi mmeufikia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi,


Kisha nikaona, na tazama, huyo Mwana-kondoo amesimama juu ya mlima Sayuni, na watu elfu mia moja na arubaini na nne pamoja naye, wenye jina lake na jina la Baba yake limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.