Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 148:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Msifuni, enyi mbingu za mbingu, Nanyi maji mlioko juu ya mbingu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msifuni, enyi mbingu za juu, na maji yaliyo juu ya mbingu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msifuni, enyi mbingu za juu, na maji yaliyo juu ya mbingu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msifuni, enyi mbingu za juu, na maji yaliyo juu ya mbingu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu sana, na ninyi maji juu ya anga.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu sana, na ninyi maji juu ya anga.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Msifuni, enyi mbingu za mbingu, Nanyi maji mlioko juu ya mbingu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 148:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.


Mungu akaliumba anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.


Katika mwaka wa mia sita wa maisha ya Nuhu, mwezi wa pili, siku ya kumi na saba ya mwezi, siku ile chemchemi zote za vilindi vikuu zilibubujika kwa nguvu, madirisha ya mbinguni yakafunguka.


Lakini Mungu je? Hakika atakaa juu ya nchi? Tazama, mbingu hazikutoshi, wala mbingu za mbingu; sembuse nyumba hii niliyoijenga!


Nayo nyumba nitakayoijenga ni kubwa; kwa sababu Mungu wetu ndiye mkuu juu ya miungu yote.


Ezra akasema, Wewe ndiwe BWANA, wewe peke yako; wewe ulifanya mbingu, mbingu za mbingu, pamoja na jeshi lake lote, dunia na vyote vilivyomo, bahari na vitu vyote vilivyomo, nawe unavihifadhi vitu hivi vyote; na jeshi la mbinguni lakusujudu wewe.


Na kuziweka nguzo za ghorofa zake majini. Huyafanya mawingu kuwa gari lake, Na kwenda juu ya mabawa ya upepo,


Anyenyekeaye kutazama, Mbinguni na duniani?


Apandaye mbingu za mbingu za tangu milele; Aitoa sauti yake, sauti ya nguvu.


Maana Mungu ataiokoa Sayuni, na kuijenga miji ya Yuda, Na watu watakaa ndani yake na kuimiliki.


Namjua mtu mmoja katika Kristo, yapata sasa miaka kumi na minne, (kwamba alikuwa katika mwili sijui; kwamba alikuwa nje ya mwili sijui; Mungu ajua). Mtu huyo alinyakuliwa juu mpaka mbingu ya tatu.


Tazama, mbingu ni mali ya BWANA, Mungu wako, na mbingu za mbingu, na nchi, na vitu vyote vilivyomo.