Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 148:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Msifuni, jua na mwezi; Msifuni, nyota zote zenye mwanga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msifuni, enyi jua na mwezi, msifuni, enyi nyota zote zingaazo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msifuni, enyi jua na mwezi, msifuni, enyi nyota zote zingaazo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msifuni, enyi jua na mwezi, msifuni, enyi nyota zote zing'aazo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Msifuni yeye, enyi jua na mwezi, msifuni yeye, enyi nyota zote zinazong’aa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Msifuni yeye, enyi jua na mwezi, msifuni yeye, enyi nyota zote zing’aazo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Msifuni, jua na mwezi; Msifuni, nyota zote zenye mwanga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 148:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na wakati wa joto, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, mchana na usiku, havitakoma.


BWANA asema hivi, Kama mkiweza kulivunja agano langu la mchana, na agano langu la usiku, hata usiwepo tena mchana na usiku kwa wakati wake,


tena usije ukainua macho yako hata mbinguni, na ulionapo jua, na mwezi, na nyota, jeshi la mbinguni lote pia, ukashawishwa na kuviabudu, na kuvitumikia, ambavyo BWANA, Mungu wako amewagawanyia watu wote chini ya mbingu zote.