Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 147:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Humpa mnyama chakula chake, Wana-kunguru waliao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huwapa wanyama chakula chao, na kuwalisha makinda ya kunguru yanapolia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huwapa wanyama chakula chao, na kuwalisha makinda ya kunguru yanapolia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huwapa wanyama chakula chao, na kuwalisha makinda ya kunguru yanapolia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huwapa chakula mifugo na pia makinda ya kunguru yanapolia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huwapa chakula mifugo na pia makinda ya kunguru yanapolia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Humpa mnyama chakula chake, Wana-kunguru waliao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 147:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ukajitwalie chakula cha kila namna kinacholika, ukakusanye, nacho kitakuwa ni chakula chenu na chao.


Ni nani anayempatia kunguru chakula, Makinda yake wanapomlilia Mungu, Na kutangatanga kwa kutindikiwa na chakula?


Yeye akipaye kila kiumbe chakula chake; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Ninyi je! Si bora kuliko hao?


Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, lakini Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!