Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 147:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Huzifunika mbingu kwa mawingu, Huitengenezea nchi mvua, Na kuichipusha nyasi milimani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye hulifunika anga kwa mawingu, huitengenezea nchi mvua, na kuchipusha nyasi vilimani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye hulifunika anga kwa mawingu, huitengenezea nchi mvua, na kuchipusha nyasi vilimani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye hulifunika anga kwa mawingu, huitengenezea nchi mvua, na kuchipusha nyasi vilimani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye huzifunika anga kwa mawingu, huinyeshea ardhi mvua, na kuzifanya nyasi kuota juu ya vilima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye huzifunika anga kwa mawingu, huinyeshea ardhi mvua, na kuzifanya nyasi kuota juu ya vilima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huzifunika mbingu kwa mawingu, Huitengenezea nchi mvua, Na kuichipusha nyasi milimani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 147:8
17 Marejeleo ya Msalaba  

Hata itakuwa nikitanda mawingu juu ya nchi, upinde utaonekana winguni,


Yeye atoaye mvua inyeshe juu ya nchi, Na kuyapeleka maji mashambani;


Haleluya. Lisifuni jina la BWANA, Enyi watumishi wa BWANA, sifuni.


Manyasi hukatwa, na majani mabichi huchipua, Na mboga ya mlimani hukusanywa.


nami nitaliharibu; wala halitapogolewa wala kulimwa, bali litamea mbigili na miiba; nami nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua juu yake.


Je! Katika vitu vya ubatili vya mataifa, kiko kitu kiwezacho kuleta mvua? Je! Mbingu zaweza kutoa manyunyu? Je! Si wewe, Ee BWANA, Mungu wetu? Kwa sababu hiyo tutakungoja; kwa kuwa wewe umevifanya vitu hivi vyote.


Furahini, basi, enyi wana wa Sayuni, mkamfurahie BWANA, Mungu wenu; kwa kuwa yeye huwapa ninyi mvua ya masika, kwa kipimo cha haki, naye huwanyeshea mvua, mvua ya masika, na mvua ya vuli, kama awali.


ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.


Lakini hakujiacha pasipo ushuhuda, kwa kuwa alitenda mema, akiwapeni mvua kutoka mbinguni, na nyakati za mavuno, akiwashibisha mioyo yenu chakula na furaha.