Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 146:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Heri ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, Na tumaini lake ni kwa BWANA, Mungu wake,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Heri mtu anayesaidiwa na Mungu wa Yakobo, mtu aliyeweka tumaini lake kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Heri mtu anayesaidiwa na Mungu wa Yakobo, mtu aliyeweka tumaini lake kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Heri mtu anayesaidiwa na Mungu wa Yakobo, mtu aliyeweka tumaini lake kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wake,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika Mwenyezi Mungu, Mungu wake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika bwana, Mungu wake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Heri ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, Na tumaini lake ni kwa BWANA, Mungu wake,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 146:5
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mwambieni Yusufu hivi, Naomba uwasamehe ndugu zako kosa lao na dhambi yao, maana walikutenda mabaya; sasa twakuomba utusamehe kosa la watumishi wa Mungu wa baba yako. Yusufu akalia waliposema naye.


Heri watu wenye hali hiyo, Heri watu wenye BWANA kuwa Mungu wao.


Wao wameinama na kuanguka, Bali sisi tumeinuka na kusimama.


Heri taifa ambalo BWANA ni Mungu wao, Watu aliowachagua kuwa urithi wake.


Na sasa ninangoja nini, Ee Bwana? Matumaini yangu ni kwako.


BWANA wa majeshi yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu.


BWANA wa majeshi yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.


Njoni muyatazame matendo ya BWANA, Jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.


Maana ndiwe tegemeo langu, Ee Bwana MUNGU, Tumaini langu tokea ujana wangu.


Ee BWANA wa majeshi, Heri mwanadamu anayekutumaini Wewe.


BWANA, Mungu wa majeshi, uyasikie maombi yangu, Ee Mungu wa Yakobo, usikilize, wako.


Tena akasema, Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo. Musa akafunika uso wake; kwa maana aliogopa kumwangalia Mungu.


Atakayelitafakari neno atapata mema; Na kila amwaminiye BWANA ana heri.


U heri, Israeli. Ni nani aliye kama wewe, taifa lililookolewa na BWANA! Ndiye ngao ya msaada wako, Na upanga wa utukufu wako; Na adui zako watajitiisha chini yako, Nawe utapakanyaga mahali pao pa juu.


na kupitia kwake mmekuwa wenye kumwamini Mungu, aliyemfufua katika wafu akampa utukufu; hata imani yenu na tumaini lenu liwe kwa Mungu.