Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 146:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Haleluya. Ee nafsi yangu, umsifu BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Umsifu Mwenyezi-Mungu, ee nafsi yangu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Umsifu Mwenyezi-Mungu, ee nafsi yangu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Umsifu Mwenyezi-Mungu, ee nafsi yangu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Msifuni Mwenyezi Mungu! Ee nafsi yangu, umsifu Mwenyezi Mungu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Msifuni bwana! Ee nafsi yangu, umsifu bwana,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haleluya. Ee nafsi yangu, umsifu BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 146:1
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA. Naam, vyote vilivyo ndani yangu Vilihimidi jina lake takatifu.


Mhimidini BWANA, enyi matendo yake yote, Mahali pote pa milki yake. Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.


Wenye dhambi waangamizwe katika nchi, Watendao ubaya wasiwepo tena. Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.


Ili wazishike amri zake, na kuzitii sheria zake. Haleluya.