Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 145:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA ni mwenye fadhili na huruma, Si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu ni mwenye huruma na rehema; hakasiriki ovyo, amejaa fadhili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu ni mwenye huruma na rehema; hakasiriki ovyo, amejaa fadhili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu ni mwenye huruma na rehema; hakasiriki ovyo, amejaa fadhili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu ni mwenye neema na mwingi wa huruma, si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana ni mwenye neema na mwingi wa huruma, si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA ni mwenye fadhili na huruma, Si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 145:8
14 Marejeleo ya Msalaba  

Maana BWANA ni mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake katika vizazi vyote.


BWANA amejaa huruma na neema, Haoni hasira upesi, ni mwingi wa fadhili.


BWANA ni mwenye neema na haki, Naam, Mungu wetu ni mwenye rehema.


Lakini Wewe, Bwana, U Mungu wa rehema na neema, Mvumilivu, mwingi wa fadhili na kweli.


Kwa maana Wewe, Bwana, U mwema, Umekuwa tayari kusamehe, Na mwingi wa fadhili, Kwa watu wote wakuitao.


Rehema na msamaha ni kwa Bwana Mungu wetu, ingawa tumemwasi;


Akamwomba BWANA, akasema, Nakuomba, Ee BWANA; sivyo hivyo nilivyosema, hapo nilipokuwa katika nchi yangu? Hii ndiyo sababu nilifanya haraka kukimbilia Tarshishi; kwa maana nilijua ya kuwa wewe u Mungu mwenye neema, umejaa huruma, si mwepesi wa hasira, u mwingi wa rehema, nawe waghairi mabaya.


BWANA ni mpole wa hasira, mwingi wa rehema, mwenye kusamehe uovu na makosa, naye hatamfanya mwenye hatia kuwa hana makosa kwa njia yoyote; mwenye kuwapatiliza wana kwa uovu wa baba zao, katika kizazi cha tatu na cha nne.


Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo ametuneemesha katika huyo Mpendwa.


Naye alituzidishia hiyo katika hekima yote na ujuzi;


Lakini Mungu, kwa kuwa ni mwingi wa rehema, kwa mapenzi yake makuu aliyotupenda;