Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 145:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Macho ya watu wote yakuelekea Wewe, Nawe huwapa chakula chao wakati wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Viumbe vyote vinakutazama kwa hamu, nawe wavipa chakula chao kwa wakati wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Viumbe vyote vinakutazama kwa hamu, nawe wavipa chakula chao kwa wakati wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Viumbe vyote vinakutazama kwa hamu, nawe wavipa chakula chao kwa wakati wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Macho ya watu wote yanakutazama, nawe huwapa chakula chao wakati wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Macho yao wote yanakutazama wewe, nawe huwapa chakula chao wakati wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Macho ya watu wote yakuelekea Wewe, Nawe huwapa chakula chao kwa wakati wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 145:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo.


Wanasimba hunguruma wakitaka mawindo, Wakitafuta chakula chao kutoka kwa Mungu.


Hao wote wanakungoja Wewe, Uwape chakula chao kwa wakati wake.


Yeye akipaye kila kiumbe chakula chake; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


BWANA ni mwema kwa watu wote, Na rehema zake ziko juu ya vyote alivyoumba.


Msiogope, enyi wanyama wa porini; maana malisho ya jangwani yanatoa miche, na huo mti unazaa matunda yake, mtini na mzabibu inatoa nguvu zake.


Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Ninyi je! Si bora kuliko hao?


Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, lakini Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!


wala hatumikiwi kwa mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu chochote; kwa maana ndiye anayewapa wote uzima na pumzi na vitu vyote.