Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 144:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Vinywa vyao vinasema visivyofaa, Na ambao mikono yao ya kulia ni ya uongo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ambao husema maneno ya uongo, hunyosha mkono kushuhudia uongo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ambao husema maneno ya uongo, hunyosha mkono kushuhudia uongo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ambao husema maneno ya uongo, hunyosha mkono kushuhudia uongo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ambao vinywa vyao vimejaa uongo, na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ambao vinywa vyao vimejaa uongo, na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Vinywa vyao vinasema visivyofaa, Na ambao mikono yao ya kuume ni ya uongo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 144:8
13 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma, Nimeinua mkono wangu kwa BWANA, Mungu Aliye Juu sana, Muumba mbingu na nchi,


Kinywa chake kimejaa laana, Na hila na dhuluma. Chini ya ulimi wake kuna madhara na uovu,


Ndipo alipowainulia mkono wake na kuwaapia, Ya kuwa atawaangamiza jangwani,


Husemezana yasiyofaa kila mtu na mwenziwe, Wenye midomo ya kujipendekeza; Husemezana kwa mioyo ya unafiki;


Na mmoja wao akija kunitazama asema uongo, Moyo wake hujikusanyia maovu, Naye atokapo nje huyanena.


Waovu hupotoka hata kabla ya kuzaliwa kwao; Tangu tumboni wamepotea, wakisema uongo.


Mpango wao ni kumwangusha tu mtu mwenye cheo; Huufurahia uongo. Kwa kinywa chao hubariki; Kwa moyo wao hulaani.


Hula majivu; moyo uliodanganyika umempotosha, asiweze kuiokoa nafsi yake, wala kusema, Je! Sio uongo mkononi mwangu?


Na mkono wako wa kulia ukikukosesha, ukate uutupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee kuliko mwili wako wote kutupwa katika Jehanamu.


Maana, nainua mkono wangu mbinguni, Na kusema, Kama Mimi niishivyo milele,