Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 144:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee BWANA, uziinamishe mbingu zako, ushuke chini. Uiguse milima ili nayo itoe moshi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uinamishe mbingu zako, ee Mwenyezi-Mungu, ushuke chini! Uiguse milima nayo itoe moshi!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uinamishe mbingu zako, ee Mwenyezi-Mungu, ushuke chini! Uiguse milima nayo itoe moshi!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uinamishe mbingu zako, ee Mwenyezi-Mungu, ushuke chini! Uiguse milima nayo itoe moshi!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mwenyezi Mungu, pasua mbingu zako, ushuke, gusa milima ili itoe moshi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee bwana, pasua mbingu zako, ushuke, gusa milima ili itoe moshi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee BWANA, uziinamishe mbingu zako, ushuke chini. Uiguse milima ili nayo itoe moshi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 144:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Aitazamaye nchi, ikatetemeka; Aigusaye milima, ikatoka moshi.


Akapanda juu ya kerubi akaruka, Naam, aliruka upesi juu ya mabawa ya upepo.


Aliziinamisha mbingu akashuka, Kukawa na giza kuu chini ya miguu yake.


Mlima wa Sinai wote pia ukatoa moshi, kwa sababu BWANA alishuka katika moto; na ule moshi wake ukapanda juu kama moshi wa tanuri, mlima wote ukatetemeka sana.


Maana hamkufikia mlima uwezao kuguswa, uliowaka moto, wala wingu jeusi, na giza, na tufani,