Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 144:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee BWANA, mtu ni kitu gani hata umjali? Na binadamu hata umwangalie?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Mwenyezi-Mungu, mtu ni nini hata umjali? Mwanadamu ni nini hata umfikirie?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Mwenyezi-Mungu, mtu ni nini hata umjali? Mwanadamu ni nini hata umfikirie?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Mwenyezi-Mungu, mtu ni nini hata umjali? Mwanadamu ni nini hata umfikirie?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mwenyezi Mungu, mwanadamu ni nini hata umjali, Binadamu ni nini hata umfikirie?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee bwana, mwanadamu ni nini hata umjali, Binadamu ni nini hata umfikirie?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee BWANA, mtu ni kitu gani hata umjali? Na binadamu hata umwangalie?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 144:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Mwanadamu ni kitu gani, hata akawa safi? Huyo aliyezaliwa na mwanamke, hata awe na haki?


Je! Mtu ni kitu gani, hata ukamtukuza, Na kumtia moyoni mwako,


Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?


Umemfanya mdogo kuliko Mungu; Umemvika taji la utukufu na heshima;


Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani?


Mwanadamu ni nini hata umkumbuke, Ama mwana wa binadamu, hata umwangalie?