Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 144:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu, Aifundishaye mikono yangu vita, Na vidole vyangu kupigana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Atukuzwe Mwenyezi-Mungu, mwamba wangu, anayeipa mikono yangu mazoezi ya vita, na kuvifunza vidole vyangu kupigana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Atukuzwe Mwenyezi-Mungu, mwamba wangu, anayeipa mikono yangu mazoezi ya vita, na kuvifunza vidole vyangu kupigana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Atukuzwe Mwenyezi-Mungu, mwamba wangu, anayeipa mikono yangu mazoezi ya vita, na kuvifunza vidole vyangu kupigana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ahimidiwe Mwenyezi Mungu Mwamba wangu, aifundishaye mikono yangu vita, na vidole vyangu kupigana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sifa ni kwa bwana Mwamba wangu, aifundishaye mikono yangu vita, na vidole vyangu kupigana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu, Aifundishaye mikono yangu vita, Na vidole vyangu kupigana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 144:1
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ananifundisha mikono yangu vita; Hata mikono yangu inaupanda upinde wa shaba.


Akamwambia mfalme wa Israeli, Weka mkono wako katika uta; naye akaweka mkono wake juu yake. Elisha akaweka mikono yake juu ya mikono ya mfalme.


BWANA ni jabali langu, na boma langu, na mwokozi wangu, Mungu wangu, mwamba wangu ninayemkimbilia, Ngao yangu, na pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.


Namwita BWANA astahiliye kusifiwa, Hivyo nitaokoka na adui zangu.


Maana ni nani aliye Mungu ila BWANA? Ni nani aliye mwamba ila Mungu wetu?


Anaifundisha mikono yangu vita, Mikono yangu ikaupinda upinde wa shaba.


Nawe umenipa ngao ya wokovu wako, Mkono wako wa kulia umenitegemeza, Na unyenyekevu wako umenikuza.


Kwa msaada wa Mungu tutatenda makuu, Maana Yeye atawakanyaga watesi wetu.


Uwe kwangu mwamba wa makazi yangu, Ngome imara ya wokovu wangu. Maana wewe, Ndiwe mwamba wangu na ngome yangu.


Njoni, tumwimbie BWANA, Tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu.


Mtumainini BWANA siku zote Maana BWANA YEHOVA ni mwamba wa milele.


Mmoja ataniambia, Kwa BWANA, peke yake, iko haki na nguvu; naam, watu watamwendea yeye, na wote waliomkasirikia watatahayarika.


(maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome;)