Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 142:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Roho yangu inapozimia unayajua mapito yangu; Katika njia niendayo wamenifichia mtego.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ninapokaribia kukata tamaa kabisa, yeye yupo, anajua mwenendo wangu. Maadui wamenitegea mitego njiani mwangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ninapokaribia kukata tamaa kabisa, yeye yupo, anajua mwenendo wangu. Maadui wamenitegea mitego njiani mwangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ninapokaribia kukata tamaa kabisa, yeye yupo, anajua mwenendo wangu. Maadui wamenitegea mitego njiani mwangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Roho yangu inapozimia ndani yangu, wewe ndiwe unajua njia zangu. Katika njia ninayopita, watu wameniwekea mtego.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati roho yangu inapozimia ndani yangu, wewe ndiwe unajua njia zangu. Katika njia ninayopita watu wameniwekea mtego.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Roho yangu inapozimia unayajua mapito yangu; Katika njia niendayo wamenifichia mtego.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 142:3
20 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye aijua njia niendeayo; Akisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu.


Kwa kuwa BWANA anaijua njia ya wenye haki, Bali njia ya wasio haki itapotea.


Ee BWANA, usikie kuomba kwangu, Kilio changu kikufikie.


Moyo wangu umepigwa kama majani na kukauka, Naam, ninasahau kula chakula changu.


Wenye kiburi wamenifichia mtego na kamba; Wametandika wavu kando ya njia; Wameniwekea matanzi.


Unilinde kutoka kwa mtego walionitegea, Na kutoka kwa matanzi ya watendao maovu.


Na roho yangu imezimia ndani yangu, Moyo wangu ndani yangu umeshtuka.


Umenijaribu moyo wangu, umenijia usiku, Umenichunguza usione neno; Nimenuia kinywa changu kisikose,


Nimemwagika kama maji, Mifupa yangu yote imeteguka, Moyo wangu umekuwa kama nta, Na kuyeyuka ndani ya moyo wangu.


Utanitoa katika wavu walionitegea kwa siri, Maana Wewe ndiwe ngome yangu.


Hukutanika, hujificha, huziangalia nyayo zangu, Kwa kuwa waliniotea ili waniue.


Toka mwisho wa nchi nitakulilia ninapozimia moyo, Uniongoze juu ya mwamba nisioweza kuupanda.


Hakika binadamu ni ubatili, Na wenye cheo ni uongo, Katika mizani huinuka; Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.


Nilipotaka kumkumbuka Mungu nilifadhaika; Nilipotaka kutafakari roho yangu ilizimia.


Kilio na kisikiwe kitokacho katika nyumba zao, hapo utakapoleta kikosi juu yao kwa ghafla; kwa maana wamenichimbia shimo waninase, nao wameifichia miguu yangu mitego.


Inuka, ulalamike usiku, Mwanzo wa mikesha yake; Mimina moyo wako kama maji usoni pa Bwana; Umwinulie mikono yako; Kwa uhai wa watoto wako wachanga wazimiao kwa njaa, Mwanzo wa kila njia kuu.


Ndipo Mafarisayo wakaenda zao, wakafanya shauri, jinsi ya kumtega kwa maneno.