Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 142:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nitafunua mbele zake malalamiko yangu, Shida yangu nitaitangaza mbele zake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Namwekea malalamiko yangu, namweleza taabu zangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Namwekea malalamiko yangu, namweleza taabu zangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Namwekea malalamiko yangu, namweleza taabu zangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Namimina malalamiko yangu mbele zake, mbele zake naeleza shida zangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Namimina malalamiko yangu mbele zake, mbele zake naeleza shida zangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nitafunua mbele zake malalamiko yangu, Shida yangu nitaitangaza mbele zake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 142:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, nitakuita Ewe, mwamba wangu, Usiwe kwangu kama kiziwi. Nisije nikafanana nao washukao shimoni, Ikiwa umeninyamalia.


Nayakumbuka mambo haya kwa uchungu moyoni mwangu, Jinsi nilivyokuwa nikienda na mkutano, Na kuwaongoza hadi katika nyumba ya Mungu, Kwa sauti ya furaha na kusifu, mkutano wa sikukuu.


Enyi watu, mtumainini sikuzote, Ifunueni mioyo yenu mbele zake; Mungu ndiye kimbilio letu.


BWANA, katika taabu zao walikwenda kwako; waliomba maombi mengi wakati adhabu yako ilipokuwa juu yao.


Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa.


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;