Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 141:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Macho yangu yanakuelekea Wewe, MUNGU Bwana, Nimekukimbilia Wewe, usiniache bila kinga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Bali mimi nakutegemea, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu; ninakimbilia usalama kwako, usiniache hatarini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Bali mimi nakutegemea, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu; ninakimbilia usalama kwako, usiniache hatarini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Bali mimi nakutegemea, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu; ninakimbilia usalama kwako, usiniache hatarini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana Mungu Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee bwana Mwenyezi, ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Macho yangu yanakuelekea Wewe, MUNGU Bwana, Nimekukimbilia Wewe, usiniache bila kinga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 141:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Mungu wetu, je! Hutawahukumu? Maana sisi hatuna uwezo juu ya jamii kubwa hii, wanaotujia juu yetu; wala hatujui tufanyeje; lakini macho yetu yanatazama kwako.


Atakapoyaelekea maombi yake aliye mkiwa, Asiyadharau maombi yao.


BWANA ndiye niliyemkimbilia. Mbona mnaiambia nafsi yangu, Kimbia kama ndege mlimani kwenu?


Shikeni yaliyo bora, asije akafanya hasira Nanyi mkapotea njiani, Kwa kuwa hasira yake huwaka upesi; Heri wote wanaomkimbilia.


Maskini na wahitaji wanatafuta maji, wala hapana; ndimi zao zimekauka kwa kiu; mimi, BWANA, nitawasikia, mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.


Sitawaacha ninyi yatima; naja kwenu.