Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 140:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hakika wenye haki watalishukuru jina lako, Wenye adili watakaa mahali ulipo Wewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hakika waadilifu watalisifu jina lako; wanyofu watakaa kwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hakika waadilifu watalisifu jina lako; wanyofu watakaa kwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hakika waadilifu watalisifu jina lako; wanyofu watakaa kwako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakika wenye haki watalisifu jina lako, na waadilifu wataishi mbele zako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakika wenye haki watalisifu jina lako, na waadilifu wataishi mbele zako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hakika wenye haki watalishukuru jina lako, Wenye adili watakaa mahali ulipo Wewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 140:13
15 Marejeleo ya Msalaba  

Hauhifadhi uhai wa waovu; Lakini huwapa wateswao haki yao.


Kwa kuwa BWANA ni mwenye haki, Apenda matendo ya haki, Wanyofu wa moyo watauona uso wake.


Utanijulisha njia ya uzima; Mbele za uso wako kuna furaha tele; Na katika mkono wako wa kulia Mna mema ya milele.


Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.


Mfurahieni BWANA; Shangilieni, enyi wenye haki Pigeni vigelegele vya furaha; Ninyi nyote mlio wanyofu wa moyo.


Mifupa yangu yote itasema, BWANA, ni nani aliye kama Wewe? Umponyaye maskini kutoka kwa mtu aliye hodari kumshinda yeye, Naam, maskini na mhitaji na mtu amtekaye.


Utaniongoza kwa shauri lako, Na baadaye utanikaribisha kwa utukufu.


Enyi wenye haki, mfurahieni BWANA, Na kulishukuru jina lake takatifu.


Kwa sababu BWANA atawatetea; Naye atawateka uhai wao waliowateka.


Waambieni wenye haki ya kuwa watakuwa heri, kwa maana watakula matunda ya matendo yao


Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.


Baba, hao ulionipa nataka wawe pamoja nami popote nilipo, wapate na kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa maana ulinipenda kabla ya kuwekwa msingi ulimwengu.


Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.