Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 140:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Makaa ya moto yawaangukie, watupwe motoni, Na katika mashimo, wasipate kusimama tena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Makaa ya moto yawaangukie; watumbukizwe mashimoni, wasiinuke tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Makaa ya moto yawaangukie; watumbukizwe mashimoni, wasiinuke tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Makaa ya moto yawaangukie; watumbukizwe mashimoni, wasiinuke tena.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie! Na watupwe motoni, katika mashimo ya matope, wasiinuke tena kamwe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie! Na watupwe motoni, katika mashimo ya matope, wasiinuke tena kamwe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Makaa ya moto yawaangukie, watupwe motoni, Na katika mashimo, wasipate kusimama tena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 140:10
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo BWANA akanyesha juu ya Sodoma na juu ya Gomora kiberiti na moto kutoka mbinguni kwa BWANA.


Awanyeshee wasio haki mitego, Moto na kiberiti na upepo wa joto Na viwe fungu la kikombe chao.


Mishale ya mtu hodari iliyochongoka, Pamoja na makaa ya mretemu.


Utawafanya kuwa kama tanuri ya moto, Wakati wa ghadhabu yako. BWANA atawameza kwa ghadhabu yake, Na moto utawateketeza.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Na watu wote wataogopa, Wataitangaza kazi ya Mungu, Na kuyafahamu matendo yake.


Nitamshukuru BWANA kwa kadiri ya haki yake; Nitaliimbia jina la BWANA aliye juu.


Kila mtu awapotezaye wenye haki katika njia mbaya, Ataanguka katika rima lake mwenyewe; Bali wakamilifu watarithi mema.


Aliyelemewa na damu ya mtu Atalikimbilia shimo; wala mtu asimzuie.


na kuwatupa katika tanuri ya moto, ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


na kuwatupa katika tanuri ya moto; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


Na iwapo mtu yeyote hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa la moto.


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.