Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 139:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ningezitwaa mbawa za asubuhi, Na kukaa pande za mwisho za bahari;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nikiruka hadi mawio ya jua, au hata mipakani mwa bahari,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nikiruka hadi mawio ya jua, au hata mipakani mwa bahari,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nikiruka hadi mawio ya jua, au hata mipakani mwa bahari,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikipanda juu kwa mabawa ya mapambazuko, nikikaa pande za mbali za bahari,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama nikipanda juu ya mbawa za mapambazuko, kama nikikaa pande za mbali za bahari,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ningezitwaa mbawa za asubuhi, Na kukaa pande za mwisho za bahari;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 139:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akapanda juu ya kerubi akaruka, Naam, aliruka upesi juu ya mabawa ya upepo.


Kuchomoza kwake ni katika mwisho wa mbingu, Na kuzunguka kwake ni hadi miisho ya mbingu, Wala hakuna kitu Kisichofikiwa na joto lake.


Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu, jua la haki litawachomozea, likiwa na uwezo wa kuponya katika miale yake; nanyi mtatoka nje, na kuchezacheza kama ndama watokapo mazizini.