Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 139:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama ningepanda mbinguni, Wewe uko; Ningefanya kuzimu kitanda changu, Wewe uko.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nikipanda juu mbinguni, wewe upo; nikijilaza chini kuzimu, wewe upo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nikipanda juu mbinguni, wewe upo; nikijilaza chini kuzimu, wewe upo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nikipanda juu mbinguni, wewe upo; nikijilaza chini kuzimu, wewe upo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikienda juu mbinguni, wewe uko huko; nikifanya vilindi kuwa kitanda changu, wewe uko huko.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko; nikifanya vilindi kuwa kitanda changu, wewe uko huko.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama ningepanda mbinguni, Wewe uko; Ningefanya kuzimu kitanda changu, Wewe uko.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 139:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kaburi li wazi mbele yake, Uharibifu nao hauna kifuniko.


Kuzimu na Uharibifu viko wazi mbele za BWANA; Si zaidi basi, mioyo ya wanadamu?


Je, mtu yeyote aweza kujificha mahali pa siri, nisimwone? Asema BWANA. Je! Mbingu na nchi hazikujawa nami? Asema BWANA.


Ujapopanda juu kama tai, Ijapokuwa kiota chako kimewekwa kati ya nyota, Nitakushusha kutoka huko; asema BWANA.


Akasema, Nilimlilia BWANA kwa sababu ya shida yangu, Naye akaniitikia; Katika tumbo la kuzimu niliomba, Nawe ukasikia sauti yangu.