Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 139:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Niende wapi nijiepushe na roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nikimbilie wapi ambako roho yako haiko? Niende wapi ambako wewe huko?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nikimbilie wapi ambako roho yako haiko? Niende wapi ambako wewe huko?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nikimbilie wapi ambako roho yako haiko? Niende wapi ambako wewe huko?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Niende wapi nijiepushe na Roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Niende wapi nijiepushe na Roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Niende wapi nijiepushe na roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 139:7
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe wasema, Mungu anajua nini? Je! Aweza kuamua kati ya giza kuu?


Ndipo watu wale wakaogopa mno, wakamwambia, Ni jambo gani hili ulilolitenda! Kwa maana watu wale walijua ya kuwa amekimbia, ajiepushe na uso wa BWANA, kwa sababu alikuwa amewaambia.


Lakini Yona akaondoka akimbilie Tarshishi, apate kujiepusha na uso wa BWANA; akateremka hadi Yafa, akaona merikebu inayokwenda Tarshishi; basi, akalipa nauli, akapanda merikebuni, aende pamoja nao Tarshishi, ajiepushe na uso wa BWANA.


Petro akamwambia, Imekuwaje hata mkapatana kumjaribu Roho wa Bwana? Angalia, miguu yao waliomzika mumeo ipo mlangoni, nao watakuchukua nje wewe nawe.