Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 139:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maarifa hayo ni ya ajabu, yanishinda mimi, Hayadirikiki, siwezi kuyafikia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maarifa yako yapita akili yangu; ni makuu mno, siwezi kuyaelewa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maarifa yako yapita akili yangu; ni makuu mno, siwezi kuyaelewa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maarifa yako yapita akili yangu; ni makuu mno, siwezi kuyaelewa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maarifa haya ni ya ajabu mno kwangu, ni ya juu sana kwangu kuyafikia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maarifa haya ni ya ajabu mno kwangu, ni ya juu sana kwangu kuyafikia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maarifa hayo ni ya ajabu, yanishinda mimi, Hayadirikiki, siwezi kuyafikia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 139:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, hivi ni viunga tu vya njia zake; Na jinsi yalivyo madogo manong'ono tusikiayo katika habari zake! Lakini ngurumo za uweza wake ni nani awezaye kuzielewa?


Ni nani huyu afichaye ushauri bila maarifa? Kwa maana, nimesema maneno nisiyoyafahamu, Mambo ya ajabu ya kunishinda mimi, nisiyoyajua.


Ee BWANA, utanisahau hadi lini, hata milele? Hadi lini utanificha uso wako?


Ee BWANA, Mungu wangu, umefanya kwa wingi Miujiza yako na mawazo yako kwetu; Hakuna awezaye kufananishwa nawe; Kama ningependa kuyatangaza na kuyahubiri, Ni mengi sana hayahesabiki.


Kuna mambo matatu yaliyo ya ajabu kwangu, Naam, kuna manne nisiyoyafahamu.


Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazieleweki!