Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 139:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee Mungu, unichunguze, uujue moyo wangu, Unijaribu, uyajue mawazo yangu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Unichunguze, ee Mungu, unijue moyo wangu, unipime, uyajue mawazo yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Unichunguze, ee Mungu, unijue moyo wangu, unipime, uyajue mawazo yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Unichunguze, ee Mungu, unijue moyo wangu, unipime, uyajue mawazo yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu, nijaribu na ujue mawazo yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu, nijaribu na ujue mawazo yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee Mungu, unichunguze, uujue moyo wangu, Unijaribu, uyajue mawazo yangu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 139:23
13 Marejeleo ya Msalaba  

(Na nipimwe katika mizani iliyo sawasawa, Ili Mungu aujue uelekevu wangu);


BWANA yu katika hekalu lake takatifu. BWANA ambaye kiti chake kiko mbinguni, Macho yake yanaangalia; Kope zake zinawapima wanadamu.


BWANA humjaribu mwenye haki; Bali nafsi yake humchukia asiye haki, Na mwenye kupenda udhalimu.


Ee BWANA, umenichunguza na kunijua.


Umenijaribu moyo wangu, umenijia usiku, Umenichunguza usione neno; Nimenuia kinywa changu kisikose,


Ee BWANA, unijaribu na kunipima; Unisafishe akili yangu na moyo wangu.


Kalibu ni kwa fedha, na tanuri kwa dhahabu; Bali BWANA huijaribu mioyo.


Lakini, Ee BWANA wa majeshi, uhukumuye haki, ujaribuye fikira na moyo, nijalie kuona kisasi chako juu yao; kwa maana nimekufunulia wewe neno langu.


Nami nitalileta fungu lile la tatu na kulipitisha kati ya moto, nami nitawasafisha kama fedha isafishwavyo, nami nitawajaribu kama dhahabu ijaribiwavyo; wataliitia jina langu, nami nitawasikia; mimi nitasema, Watu hawa ndio wangu; nao watasema, BWANA ndiye Mungu wangu.


aliyekulisha jangwani kwa mana, wasiyoijua baba zako; apate kukutweza, apate kukujaribu, ili kukutendea mema mwisho wako.


Nawe utaikumbuka njia ile yote BWANA, Mungu wako aliyokuongoza miaka hii arubaini katika jangwa, ili akunyenyekeze, kukujaribu kuyajua yaliyo moyoni mwako, kwamba utashika amri zake, au sivyo.


ili kwamba kujaribiwa kwa imani yenu, ambayo ina thamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto, kuonekane kuwa kwenye sifa na utukufu na heshima, katika kufunuliwa kwake Yesu Kristo.