Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 139:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Giza nalo halikufichi kitu, Bali usiku huangaza kama mchana; Giza na mwanga kwako ni sawasawa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kwako giza si giza hata kidogo, na usiku wangaa kama mchana; kwako giza na mwanga ni mamoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kwako giza si giza hata kidogo, na usiku wangaa kama mchana; kwako giza na mwanga ni mamoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kwako giza si giza hata kidogo, na usiku wang'aa kama mchana; kwako giza na mwanga ni mamoja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

hata giza halitakuwa giza kwako, usiku utang’aa kama mchana, kwa kuwa giza ni kama nuru kwako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

hata giza halitakuwa giza kwako, usiku utang’aa kama mchana, kwa kuwa giza ni kama nuru kwako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Giza nalo halikufichi kitu, Bali usiku huangaza kama mchana; Giza na mwanga kwako ni sawasawa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 139:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Kaburi li wazi mbele yake, Uharibifu nao hauna kifuniko.


Hapana hofu ya giza kuu, mahali wawezapo kujificha watendao udhalimu.


ikawa katikati ya jeshi la Misri na jeshi la Israeli; napo palikuwa na lile wingu na lile giza, lakini lilitoa nuru wakati wa usiku; na hawa hawakuwakaribia hawa usiku kucha.


Basi hao watu wakasimama mbali, naye Musa akalikaribia lile giza kuu Mungu alipokuwapo.


yeye hufunua mambo ya fumbo na ya siri; huyajua yaliyo gizani, na nuru hukaa kwake.


Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, maana vitu vyote ni tupu na kuwekwa wazi machoni pake yeye ambaye tunapaswa kuwajibika kwake.