Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 139:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama nikisema, Hakika giza litanifunika, Na nuru inizungukayo ingekuwa usiku;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama ningeliomba giza linifunike, giza linizunguke badala ya mwanga,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama ningeliomba giza linifunike, giza linizunguke badala ya mwanga,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama ningeliomba giza linifunike, giza linizunguke badala ya mwanga,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nikisema, “Hakika giza litanificha na nuru inayonizunguka iwe usiku,”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama nikisema, “Hakika giza litanificha na nuru inayonizunguka iwe usiku,”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama nikisema, Hakika giza litanifunika, Na nuru inizungukayo ingekuwa usiku;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 139:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akaondoka kati ya usiku, akamwondoa mtoto wangu ubavuni pangu, mimi mjakazi wako nilipokuwa usingizini, akamweka kifuani pake, na mtoto wake mwenyewe, aliyekuwa amekufa, akamweka kifuani pangu.


Huvumbua mambo ya siri tokea gizani, Na hicho kilicho giza tupu huleta mwangani.


Hapana hofu ya giza kuu, mahali wawezapo kujificha watendao udhalimu.


Nao husema, BWANA haoni; Mungu wa Yakobo hatambui.


Ole wao wanaojitahidi kumficha BWANA mashauri yao, na matendo yao yamo gizani, nao husema, Ni nani atuonaye? Nani atujuaye?


Je, mtu yeyote aweza kujificha mahali pa siri, nisimwone? Asema BWANA. Je! Mbingu na nchi hazikujawa nami? Asema BWANA.