Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 139:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Huko nako mkono wako utaniongoza, Na mkono wako wa kulia utanishika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

hata huko upo kuniongoza; mkono wako wa kulia utanitegemeza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

hata huko upo kuniongoza; mkono wako wa kulia utanitegemeza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

hata huko upo kuniongoza; mkono wako wa kulia utanitegemeza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

hata huko mkono wako utaniongoza, mkono wako wa kuume utanishika kwa uthabiti.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

hata huko mkono wako utaniongoza, mkono wako wa kuume utanishika kwa uthabiti.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huko nako mkono wako utaniongoza, Na mkono wako wa kuume utanishika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 139:10
6 Marejeleo ya Msalaba  

Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.


Nafsi yangu inaambatana nawe sana; Mkono wako wa kulia unanitegemeza.


Walakini mimi ni pamoja nawe daima, Umenishika mkono wa kulia.


Kwa maana mimi, BWANA, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kulia, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.


Nao wajapojificha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta na kuwatoa toka huko; na wajapositirika katika vilindi vya bahari nisiwaone, nitamwagiza joka huko, naye atawauma.