Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 136:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yeye peke yake afanya maajabu makuu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndiye peke yake atendaye makuu ya ajabu; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndiye peke yake atendaye makuu ya ajabu; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndiye peke yake atendaye makuu ya ajabu; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwake yeye pekee atendaye maajabu makuu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwake yeye pekee atendaye maajabu makuu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yeye peke yake afanya maajabu makuu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 136:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye afanyaye mambo makuu, yasiyotambulikana; Mambo ya ajabu yasiyo na hesabu;


Na ahimidiwe BWANA, Mungu, Mungu wa Israeli, Atendaye miujiza Yeye peke yake;


Kwa kuwa ndiwe uliye mkuu, Wewe ndiwe mfanya miujiza, Ndiwe Mungu peke yako.


Ee BWANA, katika miungu ni nani aliye kama wewe? Ni nani aliye kama wewe, mtukufu katika utakatifu, Mwenye kuogopwa katika sifa zako, mfanya maajabu?


Nao wauimba wimbo wa Musa, mtumwa wa Mungu, na wimbo wa Mwana-kondoo, wakisema, Ni makuu, na ya ajabu, matendo yako, Ee Bwana Mungu Mwenyezi; Ni za haki, na za kweli, njia zako, Ee Mfalme wa mataifa.