Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 136:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mshukuruni Bwana wa mabwana; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mshukuruni Bwana wa mabwana; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mshukuruni Bwana wa mabwana; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mshukuruni Bwana wa mabwana; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mshukuruni Bwana wa mabwana: Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mshukuruni Bwana wa mabwana: Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mshukuruni Bwana wa mabwana; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 136:3
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana BWANA, Mungu wenu, yeye ndiye Mungu wa miungu, na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye kuogofya, asiyependelea watu, wala kukubali rushwa.


ambako yeye kwa majira yake atakudhihirisha, yeye aliyehimidiwa, Mwenye uweza peke yake, Mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana;


Hawa watafanya vita na Mwana-kondoo, na Mwana-kondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio walioitwa, na wateule, na waaminifu.


Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.