Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 136:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akatuokoa na watesi wetu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

akatuokoa kutoka maadui zetu; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

akatuokoa kutoka maadui zetu; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

akatuokoa kutoka maadui zetu; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alituweka huru toka adui zetu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alituweka huru toka adui zetu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akatuokoa na watesi wetu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 136:24
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hiyo ukawatia katika mikono ya adui zao, waliowasumbua; na wakati wa shida yao, walipokulilia, uliwasikia kutoka mbinguni; na kwa wingi wa rehema zako ukawapa waokozi waliowaokoa kutoka mikononi mwa adui zao.


Na waseme hivi waliokombolewa na BWANA, Wale aliowakomboa na mkono wa mtesi.


Wewe kwa rehema zako umewaongoza watu uliowakomboa, Kwa uweza wako uliwaelekeza hata makao yako matakatifu.


Katika mateso yao yote yeye aliteswa, na malaika wa uso wake akawaokoa; kwa mapenzi yake, na huruma zake, aliwakomboa mwenyewe; akawainua, akawachukua siku zote za kale.


Nawe kumbuka kwamba ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri, akakukomboa BWANA, Mungu wako; kwa hiyo mimi nakuamuru neno hili hivi leo.


ambaye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote, na kujisafishia watu wake mwenyewe walio na bidii katika matendo mema.