Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 136:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akaitoa nchi yao iwe urithi; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akachukua nchi zao akawapa watu wake; kwa maana fadhili zake zadumu milele;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akachukua nchi zao akawapa watu wake; kwa maana fadhili zake zadumu milele;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akachukua nchi zao akawapa watu wake; kwa maana fadhili zake zadumu milele;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akatoa nchi yao kuwa urithi, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akatoa nchi yao kuwa urithi, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaitoa nchi yao iwe urithi; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 136:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akawapa nchi za mataifa, wakairithi kazi ya watu;


Akaitoa nchi yao iwe urithi, Urithi wa Israeli watu wake.


Akawafukuza mataifa mbele yao, Akawapimia urithi kwa kamba, Na kuwakalisha makabila ya Israeli katika hema zao.


Nawe, Israeli, mtumishi wangu; Yakobo, niliyekuchagua; mzao wa Abrahamu, rafiki yangu;


Nikawaamuru wakati huo, nikawaambia, BWANA, Mungu wenu, amewapa ninyi nchi hii muimiliki, basi vukeni ng'ambo wenye silaha mbele ya ndugu zenu, wana wa Israeli, nyote mlio mashujaa.