Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 136:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mshukuruni Mungu wa miungu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mshukuruni Mungu wa miungu; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mshukuruni Mungu wa miungu; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mshukuruni Mungu wa miungu; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mshukuruni Mungu wa miungu. Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mshukuruni Mungu wa miungu. Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mshukuruni Mungu wa miungu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 136:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nayo nyumba nitakayoijenga ni kubwa; kwa sababu Mungu wetu ndiye mkuu juu ya miungu yote.


Mungu asimama katika kusanyiko la Mungu; Katikati ya miungu anahukumu.


Na waaibishwe wote waabuduo sanamu, Wajivunao kwa vitu visivyofaa; Enyi miungu yote, msujuduni Yeye.


Maana Wewe, BWANA, ndiwe Uliye juu, Juu sana kuliko nchi yote; Umetukuka sana juu ya miungu yote.


Sasa najua ya kuwa BWANA ni mkuu kuliko miungu yote; naam, katika jambo hilo walilowatenda kwa ujeuri.


Mfalme akajibu, akamwambia Danieli, Hakika Mungu wenu ndiye Mungu wa miungu, na Bwana wa wafalme, awezaye kufumbua siri, kwa kuwa wewe uliweza kuifumbua siri hii.


Kwa maana BWANA, Mungu wenu, yeye ndiye Mungu wa miungu, na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye kuogofya, asiyependelea watu, wala kukubali rushwa.


Mungu, Mungu BWANA, naam, Mungu, Mungu BWANA, yeye anajua, na Israeli naye atajua; kama ni katika uasi, au kama ni katika kosa juu ya BWANA, usituokoe hivi leo;